Wito Wa Kumsifu Mungu
Wimbo wa kwenda juu.
1 MsifuniBwana, ninyi nyote watumishi waBwana,
ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba yaBwana.
2 Inueni mikono yenu katika pale patakatifu
na kumsifuBwana.
3 NayeBwana, Muumba wa mbingu na dunia,
awabariki kutoka Sayuni.
—https://api-cdn.youversionapi.com/audio-bible-youversionapi/337/32k/PSA/134-0ab0f077880d8b738f1866dcc6bb3977.mp3?version_id=1627—